
A bull-fighting competition/Courtesy
- Na Dennis Avokoywa
Wazee wa jamii ya Abaluhya leo wamemfanyia tambiko fahali aliyemgonga na kumuua mwanamume wa miaka 40 katika eneo bunge la Mumias Mashariki, kaunti ya Kakamega.
Joseph Opanda alikuwa miongoni mwa wale waliokuwa wakifanya matayarisho ya mashindao ya mafahali iliyoratibiwa Disemba 26.
Fahali huyo wa thamani ya Sh 95,000 alinunuliwa wiki iliyopita na kakake marehemu.
Ad

Kidesturi, mara tu baada ya fahali kumgonga na kumuua mmiliki au shabiki wakati wa shindano, yeye hukatakatwa akiwa hai kisha nyama yake hushindaniwa na mashabiki bila vikwazo vyovyote.
Utamaduni huu hufanywa baada ya fahali kumgonga na kumuua shabiki au mmiliki na inaaminika huwa inakinga wanafamilia waliyosalia dhidi ya mapepo ya mwendazake. Pia huzuia kisa kama hicho kujirudia.

Support our Journalism
The Western Kenya Times is a digital media platform with more than 500,000 email subscribers and followers across all social media platforms. It was founded in March 2020, in the wake of the COVID-19 pandemic, by a team of young professionals in the media industry.
We have grown to be one of the most reliable, independent, factual, and highly admired digital media platforms in Kenya because of our journalism, which has impacted hundreds of families and enabled children to join school, continue with their studies, and get food.
From the very beginning, we have relied solely on our own resources to sustain this incredible work. However, we firmly believe that our growth potential knows no bounds, and we invite you to be a part of our journey. Your support can help us expand our reach, touch even more lives, and foster a society that thrives on truth, untainted by commercial or political manipulation.
You can support us with as little as Sh100 ($1) through Mpesa number 0721747146 (Lonah Kuya) or PayPal account lugaridaily@gmail.com.
For more information:
Call, WhatsApp, or SMS: +254 762 287 571
Email: westernkenyatimes@gmail.com