Frist Lady Mama Ngina Kenyatta has come out to defend her family against what she termed as pointless politicization of tax matters.
The former First Lady said politicians are peddling lies against her family and said tax matters can be addressed through government channels or if necessary, law course and not public rallies.
“Naskia mengine inasemwa ati wengine hawatoi kodi, hawatoi nini…nashangaa kwa sababu kila mtu anaamka kusema hii na mwengine anasema hii, lakini serikali iko na laini yake ya vile mambo inaendeshwa.
“Mambo ya kodi, income tax ni lazima, mkubwa au mdogo, kulipa kulingana na uwezo wake na mapato yake. Hiyo si mambo ya kuzungumza katika magazeti, kwa mikutano, ama TV. Kwa sababu ukikosa kulipa kodi unapelekwa kortini, hiyo ndio sheria,” the former First Lady spoke on Saturday while addressing members of the public during the opening of the Tewa Catholic Church which she helped build in Mpeketoni, Lamu County.
Mama Ngina dared the government to auction her property and belongings in order to settle any perceived debt if the claim that she has not been paying tax is true.
“Ukikosa kulipa ile unatakiwa kulipa, lazima vitu vyako vitachukuliwa na kuuzwa. Kwa hivyo hakuna haja…hakuna mambo ya kuwaharibia wengine majina ndio watu wasikike eti wanafanya kazi, wanaendesha nchi, hapana.
“Mtu ashtakiwe alipe ile kitu anatakiwa kulipa. Na kama ni mimi, ata nikiwa na mwaka mmoja nimekosea bila kulipa, mali ichukuliwe ilipe ile tax. Kwa hivyo hakuna haja ya kufanya siasa hivi na vile…na watu wanajua hawasemi ukweli, wanataka tu kusema ndio wasikike eti wanataja majina,” she said.
Thanks for choosing WKT. Advertise with us for affordable offers.